![]() |
Utasa ni changamoto
inayo wakabili watu wengi hapa
Tanzania na duniani
kwa ujumla.
Zipo tiba
mbalimbali za asili
ambazo zinatibu tatizo
la utasa.
MAHITAJI :
i.
Unga wa Habbat
Sawdah.
ii.
Unga wa
Uwatu
iii.
Mbegu Ya Figili.
iv.
Asali
v.
Maziwa
Ya Ngamia.
Atachukua
unga wa Habbat-Sawdaa, unga wa uwatu na mbegu ya figili kwa vipimo sawa,
atakula kijiko kimoja asubuhi na jioni ilihali imekorogwa katika nusu kikombe
cha asali, baadae
MATAYARISHO
i.
Chukua vijiko
viwili vya vya
chai vya unga wa
Habbat Sawdah
ii. Changanya na
kijiko kimoja kikubwa cha chakula cha
unga wa uwatu
iii.
Ongeza kijiko kimoja cha chai
cha unga wa mbegu
moja ya figili.
iv.Changanya na asali
nusu kikombe kisha
koroga halafu tumia
kunywa mara mbili
kwa siku kwa
muda wa siku
ishirini na moja.
v. Ukisha kula
dawa yako, fuatisha na
kunywa glasi moja ya
maziwa ya ngamia.
Baada ya siku
ishirini na moja, tatizo
lako la utasa
litakuwa limeondoka
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni