
>
HII NI FEDHEHA KUBWA!! ..BAADA YA KUTOSWA AANIKA PICHA ZA MPENZI WAKE

Baada ya jamaa mmoja kupewa kibuti na mpenzi wake kwa kutowajibika kazini jamaa kaona ni bora kumweka ex wife wake huyo mtupu mbele ya kadamnasi,
Wakaka
na wadada nadhani huu ni wakati wa kujitambua na kuachana na mambo
ambayo yanatutia aibu wenyewe na ambayo hayaendani na utamaduni
wetu.Hivyo nawaomba tuache tabia ya kuiga, kaka ukitoswa jipange mapenzi
hayalazimishwi
-
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 27, tatizo nililonalo ni kwamba kila nikifanya mapenzi na mpenzi wangu niliyenae napata Maumivu ...
-
Ni aibu iliyoje? Mwanadada ambaye amejitambulisha kuwa ni msomi wa chuo kikuu....
-
Mwanamuziki Naj ambae kwa sasa anaishi Uingereza ameelezea story nzima ya mahusiano kati yake na mr. Blue yaliyodumu kwa muda kidogo kab...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni