Jumamosi, 22 Februari 2014

ZITTO AKIELEZEA JUU YA UGONJWA WAKE BAADA YA KUTOKA INDIA





Zitto Zuberi Kabwe

KWA NINI WANAUME WENGI SIKU HIZI HAWAPENDI KUOA...??


NENO MOJA TU LAWEZA KUVUNJA NDOA


MADAWA YA KULEVYA YAZIDI KUSHAMILI NCHINI TZ

Madawa ya Kulevya; Tanzania yazidi kujizolea umaarufu ulimwenguni!

- Ufaransa yatoa 'Documentary' ya utumiaji wa madawa ya Kulevya Tanzania; ikigusa baadhi ya maeneo ya DSM na Zanzibar.

- Yasemekana tani zaidi ya alfu ishirini na mbili (22,000) hupita kila mwaka Zanzibar kikiwa kama kituo cha kupitishia madawa ya kulevya toka Afghanistan. Tanzania yatajwa kuwa na mateja zaidi ya laki mbili na hamsini (250,000) nchi nzima!

JACKLINE WOLPER ALIPOAMUA KUTUPIA PICHA ZA NUSU UCHI MTANDAONI




MWANACHUO ANASWA AKIJIUZA , NI KAHABA.. MZOEFU


Ni aibu iliyoje? Mwanadada ambaye amejitambulisha kuwa ni msomi wa chuo kikuu....
(jina lipo) ambaye pia ni mwanakwaya chuoni hapo aliyejitaja kwa jina moja la Rei ameaibika baada ya kunaswa usiku mnene akijiuza,